1 Ee Mungu, mbona umetukataa milele?
2 Kumbuka watu uliowanunua zamani,
3 Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu,
4 Adui zako wamenguruma pale ulipokutana nasi,
5 Walifanya kama watu wanaotumia mashoka
6 Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa
7 Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu,
8 Walisema mioyoni mwao,
9 Hatukupewa ishara za miujiza;
10 Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini?
11 Kwa nini unazuia mkono wako,
12 Lakini wewe, Ee Mungu, ni mfalme wangu tangu zamani,
13 Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako;
14 Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani
15 Ni wewe uliyefungua chemchemi na vijito,
16 Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia,
17 Ni wewe uliyeiweka mipaka yote ya dunia,
18 Ee Bwana, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki,
19 Usiukabidhi uhai wa njiwa wako kwa wanyama wakali wa mwitu;
20 Likumbuke agano lako,
21 Usiruhusu walioonewa warudi nyuma kwa aibu;
22 Inuka, Ee Mungu, ujitetee;
23 Usipuuze makelele ya watesi wako,