Salmos 75

SWHONEN

1 Ee Mungu, tunakushukuru,

2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum;

3 Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka,

4 Kwa wale wenye majivuno ninasema,

5 Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu;

6 Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi

7 Bali Mungu ndiye ahukumuye:

8 Mkononi mwa Bwana kuna kikombe

9 Bali mimi, nitatangaza hili milele;

10 Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado