1 Ee Mungu, tunakushukuru,
2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum;
3 Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka,
4 Kwa wale wenye majivuno ninasema,
5 Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu;
6 Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi
7 Bali Mungu ndiye ahukumuye:
8 Mkononi mwa Bwana kuna kikombe
9 Bali mimi, nitatangaza hili milele;
10 Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote,