Salmos 76

SWHONEN

1 Katika Yuda, Mungu anajulikana,

2 Hema lake liko Salemu,

3 Huko alivunja mishale imetametayo,

4 Wewe unangʼaa kwa mwanga,

5 Mashujaa hulala wametekwa nyara,

6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,

7 Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.

8 Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,

9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,

10 Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,

11 Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza;

12 Huvunja roho za watawala;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado