1 Katika Yuda, Mungu anajulikana,
2 Hema lake liko Salemu,
3 Huko alivunja mishale imetametayo,
4 Wewe unangʼaa kwa mwanga,
5 Mashujaa hulala wametekwa nyara,
6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,
7 Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.
8 Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,
9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,
10 Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,
11 Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza;
12 Huvunja roho za watawala;