Salmos 73

SWHONEN

1 Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli,

2 Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza;

3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna

4 Wao hawana taabu,

5 Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine,

6 Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao,

7 Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi,

8 Hudhihaki na kusema kwa ukorofi,

9 Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,

10 Kwa hiyo watu wao huwageukia

11 Wanasema, “Mungu awezaje kujua?

12 Hivi ndivyo walivyo waovu:

13 Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure,

14 Mchana kutwa nimetaabika,

15 Kama ningesema, “Nitasema hivi,”

16 Nilipojaribu kuelewa haya yote,

17 Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu,

18 Hakika unawaweka mahali pa utelezi,

19 Tazama jinsi wanavyoangamizwa ghafula,

20 Kama ndoto mtu aamkapo,

21 Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa,

22 nilikuwa mpumbavu na mjinga,

23 Hata hivyo niko pamoja nawe siku zote,

24 Unaniongoza kwa shauri lako,

25 Nani niliye naye mbinguni ila wewe?

26 Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa,

27 Wale walio mbali nawe wataangamia,

28 Lakini kwangu mimi,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado