1 Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako,
2 Atawaamua watu wako kwa haki,
3 Milima italeta mafanikio kwa watu,
4 Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu
5 Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.
6 Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa,
7 Katika siku zake wenye haki watastawi;
8 Atatawala kutoka bahari hadi bahari
9 Makabila ya jangwani watamsujudia,
10 Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali
11 Wafalme wote watamsujudia
12 Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia,
13 Atawahurumia wanyonge na wahitaji
14 Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili,
15 Aishi maisha marefu!
16 Nafaka ijae tele katika nchi yote,
17 Jina lake na lidumu milele,
18 Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa,
19 Jina lake tukufu lisifiwe milele,
20 Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.