1 Ee Bwana, nimekukimbilia wewe,
2 Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,
3 Uwe kwangu mwamba wa kimbilio,
4 Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,
5 Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi,
6 Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,
7 Nimekuwa kama kioja kwa wengi,
8 Kinywa changu kimejazwa sifa zako,
9 Usinitupe wakati wa uzee,
10 Kwa maana adui zangu wananisengenya,
11 Wanasema, “Mungu amemwacha,
12 Ee Mungu, usiwe mbali nami,
13 Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,
14 Lakini mimi, nitatumaini siku zote,
15 Kinywa changu kitasimulia haki yako,
16 Ee Bwana Mwenyezi, nitakuja
17 Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,
18 Ee Mungu, usiniache,
19 Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,
20 Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu,
21 Utaongeza heshima yangu
22 Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi
23 Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha
24 Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki