1 Bwana anatawala,
2 Bwana ni mkuu katika Sayuni;
3 Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:
4 Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki,
5 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,
6 Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,
7 Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu;
8 Ee Bwana, wetu,
9 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,