Salmos 99

SWHONEN

1 Bwana anatawala,

2 Bwana ni mkuu katika Sayuni;

3 Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:

4 Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki,

5 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,

6 Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,

7 Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu;

8 Ee Bwana, wetu,

9 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado