1 Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha;
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani
5 Kwa maana Bwana ni mwema
SWHONEN
1 Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha;
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani
5 Kwa maana Bwana ni mwema