1 Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;
2 Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:
3 Sitaweka mbele ya macho yangu
4 Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;
5 Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,
6 Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,
7 Mdanganyifu hatakaa
8 Kila asubuhi nitawanyamazisha