Salmos 101

SWHONEN

1 Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;

2 Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:

3 Sitaweka mbele ya macho yangu

4 Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;

5 Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,

6 Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,

7 Mdanganyifu hatakaa

8 Kila asubuhi nitawanyamazisha

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado