1 Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
2 Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane
3 Ameukumbuka upendo wake
4 Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote,
5 mwimbieni Bwana kwa kinubi,
6 kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume:
7 Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake,
8 Mito na ipige makofi,
9 vyote na viimbe mbele za Bwana,