Salmos 97

SWHONEN

1 Bwana anatawala, nchi na ifurahi,

2 Mawingu na giza nene vinamzunguka,

3 Moto hutangulia mbele zake

4 Umeme wake wa radi humulika dunia,

5 Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana,

6 Mbingu zinatangaza haki yake,

7 Wote waabuduo sanamu waaibishwa,

8 Sayuni husikia na kushangilia,

9 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;

10 Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu,

11 Nuru huangaza wenye haki

12 Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado