1 Mwimbieni Bwana wimbo mpya;
2 Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;
3 Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,
4 Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;
5 Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,
6 Fahari na enzi viko mbele yake;
7 Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,
8 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
9 Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;
10 Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”
11 Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;
12 mashamba na yashangilie,
13 itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,