Salmos 95

SWHONEN

1 Njooni, tumwimbie Bwana kwa furaha;

2 Tuje mbele zake kwa shukrani,

3 Kwa kuwa Bwana ni Mungu mkuu,

4 Mkononi mwake mna vilindi vya dunia,

5 Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya,

6 Njooni, tusujudu, tumwabudu,

7 kwa maana yeye ndiye Mungu wetu,

8 msiifanye mioyo yenu migumu

9 ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima,

10 Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile,

11 Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado