1 Njooni, tumwimbie Bwana kwa furaha;
2 Tuje mbele zake kwa shukrani,
3 Kwa kuwa Bwana ni Mungu mkuu,
4 Mkononi mwake mna vilindi vya dunia,
5 Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya,
6 Njooni, tusujudu, tumwabudu,
7 kwa maana yeye ndiye Mungu wetu,
8 msiifanye mioyo yenu migumu
9 ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima,
10 Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile,
11 Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,