1 Bwana, wewe umekuwa makao yetu
2 Kabla ya kuzaliwa milima
3 Huwarudisha watu mavumbini,
4 Kwa maana kwako miaka elfu
5 Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo,
6 ingawa asubuhi yanachipua,
7 Tumeangamizwa kwa hasira yako
8 Umeyaweka maovu yetu mbele yako,
9 Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako,
10 Siku zetu za kuishi ni miaka sabini,
11 Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako?
12 Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,
13 Ee Bwana, uwe na huruma! Utakawia hata lini?
14 Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma,
15 Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu,
16 Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,
17 Wema wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu;