Salmos 89

SWHONEN

1 Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele;

2 Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele

3 Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,

4 ‘Nitaimarisha uzao wako milele

5 Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako,

6 Kwa kuwa ni nani katika mbingu

7 Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana,

8 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,

9 Wewe unatawala bahari yenye msukosuko;

10 Wewe ulimponda Rahabu

11 Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako,

12 Uliumba kaskazini na kusini;

13 Mkono wako umejaa uwezo;

14 Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi;

15 Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe,

16 Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa,

17 Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao,

18 Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana,

19 Ulizungumza wakati fulani katika maono,

20 Nimemwona Daudi, mtumishi wangu,

21 Kitanga changu kitamtegemeza,

22 Hakuna adui atakayemtoza ushuru,

23 Nitawaponda adui zake mbele zake

24 Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye,

25 Nitauweka mkono wake juu ya bahari,

26 Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu,

27 Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza,

28 Nitadumisha upendo wangu kwake milele,

29 Nitaudumisha uzao wake milele,

30 “Kama wanae wataacha amri yangu

31 kama wakihalifu maagizo yangu

32 nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo,

33 lakini sitauondoa upendo wangu kwake,

34 Mimi sitavunja agano langu

35 Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu,

36 kwamba uzao wake utaendelea milele,

37 kitaimarishwa milele kama mwezi,

38 Lakini wewe umemkataa, umemdharau,

39 Umelikana agano lako na mtumishi wako,

40 Umebomoa kuta zake zote,

41 Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake;

42 Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake,

43 Umegeuza makali ya upanga wake,

44 Umeikomesha fahari yake,

45 Umezifupisha siku za ujana wake,

46 Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele?

47 Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.

48 Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,

49 Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,

50 Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa,

51 dhihaka ambazo kwazo adui zako

52 Msifuni Bwana milele!

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado