1 Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,
2 Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,
3 Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,
4 Atakufunika kwa manyoya yake,
5 Hutaogopa vitisho vya usiku,
6 wala maradhi ya kuambukiza
7 Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,
8 Utatazama tu kwa macho yako
9 Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:
10 basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,
11 Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,
12 Mikononi mwao watakuinua,
13 Utawakanyaga simba na nyoka wakali,
14 Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;
15 Ataniita, nami nitamjibu;
16 Kwa siku nyingi nitamshibisha