1 Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako,
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,