1 Ee Bwana, sikia na unijibu,
2 Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,
3 Ee Bwana, nihurumie mimi,
4 Mpe mtumishi wako furaha,
5 Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,
6 Ee Bwana, sikia maombi yangu,
7 Katika siku ya shida yangu nitakuita,
8 Ee Bwana, katikati ya miungu hakuna kama wewe,
9 Ee Bwana, mataifa yote uliyoyafanya
10 Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;
11 Ee Bwana, nifundishe njia yako,
12 Ee Bwana wangu, nitakusifu kwa moyo wote;
13 Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;
14 Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;
15 Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema,
16 Nigeukie na unihurumie;
17 Nipe ishara ya wema wako,