1 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,
2 Nafsi yangu inatamani sana,
3 Hata shomoro amejipatia makao,
4 Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,
5 Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako,
6 Wanapopita katika Bonde la Baka,
7 Huendelea toka nguvu hadi nguvu,
8 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;
9 Ee Mungu, uitazame ngao yetu,
10 Siku moja katika nyua zako ni bora
11 Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao,
12 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,