1 Ee Mungu, usinyamaze kimya,
2 Tazama watesi wako wanafanya fujo,
3 Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,
4 Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,
5 Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,
6 mahema ya Edomu na Waishmaeli,
7 Gebali, Amoni na Amaleki,
8 Hata Ashuru wameungana nao
9 Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,
10 ambao waliangamia huko Endori
11 Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,
12 ambao walisema, “Na tumiliki nchi
13 Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,
14 Kama vile moto uteketezavyo msitu
15 wafuatilie kwa tufani yako
16 Funika nyuso zao kwa aibu
17 Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,
18 Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana,