1 Mungu anaongoza kusanyiko kuu,
2 “Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki
3 Teteeni wanyonge na yatima,
4 Mwokoeni mnyonge na mhitaji,
5 “Hawajui lolote, hawaelewi lolote.
6 “Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”;
7 Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida;
8 Ee Mungu, inuka uihukumu nchi,