Salmos 81

SWHONEN

1 Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;

2 Anzeni wimbo, pigeni matari,

3 Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume

4 hii ni amri kwa Israeli,

5 Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu

6 Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao;

7 Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa,

8 “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya:

9 Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu;

10 Mimi ni Bwana Mungu wako,

11 “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza;

12 Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao

13 “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza,

14 ningaliwatiisha adui zao kwa haraka,

15 Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake,

16 Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado