Salmos 80

SWHONEN

1 Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,

2 mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.

3 Ee Mungu, uturejeshe,

4 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,

5 Umewalisha kwa mkate wa machozi,

6 Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,

7 Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

8 Ulileta mzabibu kutoka Misri,

9 Uliandaa shamba kwa ajili yake,

10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

11 Matawi yake yalienea mpaka Baharini,

12 Mbona umebomoa kuta zake

13 Nguruwe mwitu wanauharibu

14 Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!

15 mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,

16 Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,

17 Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,

18 Ndipo hatutakuacha tena,

19 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado