1 Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako,
2 Wametoa maiti za watumishi
3 Wamemwaga damu kama maji
4 Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu,
5 Hata lini, Ee Bwana? Je, wewe utakasirika milele?
6 Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali,
7 kwa maana wamemrarua Yakobo
8 Usituhesabie dhambi za baba zetu,
9 Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie,
10 Kwa nini mataifa waseme,
11 Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako;
12 Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao
13 Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako,