Salmos 79

SWHONEN

1 Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako,

2 Wametoa maiti za watumishi

3 Wamemwaga damu kama maji

4 Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu,

5 Hata lini, Ee Bwana? Je, wewe utakasirika milele?

6 Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali,

7 kwa maana wamemrarua Yakobo

8 Usituhesabie dhambi za baba zetu,

9 Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie,

10 Kwa nini mataifa waseme,

11 Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako;

12 Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao

13 Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado