Salmos 78

SWHONEN

1 Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu,

2 Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo,

3 yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,

4 Hatutayaficha kwa watoto wao;

5 Aliagiza amri kwa Yakobo

6 ili kizazi kijacho kizijue,

7 Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu,

8 Ili wasifanane na baba zao,

9 Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde,

10 Hawakulishika agano la Mungu

11 Walisahau aliyokuwa ameyatenda,

12 Alitenda miujiza machoni mwa baba zao,

13 Aliigawanya bahari akawapitisha,

14 Aliwaongoza kwa wingu mchana

15 Alipasua miamba jangwani

16 alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka,

17 Lakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake,

18 Kwa makusudi walimjaribu Mungu,

19 Walinena dhidi ya Mungu, wakisema,

20 Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu,

21 Bwana alipowasikia, alikasirika sana,

22 kwa kuwa hawakumwamini Mungu,

23 Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu

24 akawanyeshea mana ili watu wale;

25 Watu walikula mkate wa malaika,

26 Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu

27 Aliwanyeshea nyama kama mavumbi,

28 Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao,

29 Walikula na kusaza,

30 Kabla hawajamaliza kula walichokitamani,

31 hasira ya Mungu ikawaka juu yao,

32 Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi,

33 Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili

34 Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao,

35 Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao,

36 Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao,

37 mioyo yao haikuwa thabiti kwake,

38 Hata hivyo alikuwa na huruma,

39 Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu,

40 Mara ngapi walimwasi jangwani

41 Walimjaribu Mungu mara kwa mara,

42 Hawakukumbuka uwezo wake,

43 siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri,

44 Aligeuza mito yao kuwa damu,

45 Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala,

46 Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao,

47 Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe

48 Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe,

49 Aliwafungulia hasira yake kali,

50 Aliitengenezea njia hasira yake,

51 Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,

52 Lakini aliwatoa watu wake kama kundi,

53 Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa,

54 Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu,

55 Aliyafukuza mataifa mbele yao,

56 Lakini wao walimjaribu Mungu,

57 Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu,

58 Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu,

59 Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana,

60 Akaiacha hema ya Shilo,

61 Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani,

62 Aliachia watu wake wauawe kwa upanga,

63 Moto uliwaangamiza vijana wao,

64 makuhani wao waliuawa kwa upanga,

65 Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini,

66 Aliwapiga na kuwashinda adui zake,

67 Ndipo alipozikataa hema za Yosefu,

68 lakini alilichagua kabila la Yuda,

69 Alijenga patakatifu pake kama vilele,

70 Akamchagua Daudi mtumishi wake

71 Kutoka kuchunga kondoo alimleta

72 Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado