1 Ee Bwana, Bwana wetu,
2 Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao
3 Nikiziangalia mbingu zako,
4 mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,
5 Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,
6 Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;
7 Mifugo na makundi yote pia,
8 ndege wa angani na samaki wa baharini,
9 Ee Bwana, Bwana wetu,