1 Ee Bwana, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe,
2 la sivyo watanirarua kama simba
3 Ee Bwana, Mungu wangu, kama nimetenda haya
4 au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami,
5 basi adui anifuatie na kunipata,
6 Amka kwa hasira yako, Ee Bwana,
7 Kusanyiko la watu na likuzunguke.
8 Bwana na awahukumu kabila za watu.
9 Ee Mungu mwenye haki,
10 Ngao langu ni Mungu Aliye Juu Sana,
11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki,
12 Kama hakutuhurumia,
13 Ameandaa silaha zake kali,
14 Yeye aliye na mimba ya uovu
15 Yeye achimbaye shimo na kulifukua
16 Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe,
17 Nitamshukuru Bwana kwa ajili ya haki yake,