Salmos 6

SWHONEN

1 Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,

2 Unirehemu Bwana,

3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi.

4 Geuka Ee Bwana, unikomboe,

5 Hakuna mtu anayekukumbuka

6 Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;

7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,

8 Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,

9 Bwana amesikia kilio changu kwa huruma,

10 Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado