1 Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,
2 Unirehemu Bwana,
3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi.
4 Geuka Ee Bwana, unikomboe,
5 Hakuna mtu anayekukumbuka
6 Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;
7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,
8 Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,
9 Bwana amesikia kilio changu kwa huruma,
10 Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,