Salmos 5

SWHONEN

1 Ee Bwana, tegea sikio maneno yangu,

2 Sikiliza kilio changu ili unisaidie,

3 Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee Bwana;

4 Wewe si Mungu unayefurahia uovu,

5 Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako,

6 Unawaangamiza wasemao uongo.

7 Lakini mimi, kwa rehema zako kuu,

8 Niongoze katika haki yako, Ee Bwana,

9 Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika,

10 Uwatangaze kuwa wenye hatia, Ee Mungu!

11 Lakini wote wakimbiliao kwako na wafurahi,

12 Kwa hakika, Ee Bwana, unawabariki wenye haki,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado