Salmos 68

SWHONEN

1 Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,

2 Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,

3 Bali wenye haki na wafurahi,

4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,

5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,

6 Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,

7 Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,

8 dunia ilitikisika,

9 Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi

10 Ee Mungu, watu wako waliishi huko,

11 Bwana alitangaza neno,

12 “Wafalme na majeshi walikimbia upesi,

13 Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,

14 Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi,

15 Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,

16 Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,

17 Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,

18 Ulipopanda juu, uliteka mateka,

19 Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,

20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye,

21 Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,

22 Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;

23 ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,

24 Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,

25 Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,

26 Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,

27 Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,

28 Ee Mungu, amuru uwezo wako,

29 Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu

30 Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,

31 Wajumbe watakuja kutoka Misri,

32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,

33 mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,

34 Tangazeni uwezo wa Mungu,

35 Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado