1 Ee Mungu, niokoe,
2 Ninazama kwenye vilindi vya matope,
3 Nimechoka kwa kuomba msaada,
4 Wale wanaonichukia bila sababu
5 Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,
6 Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote,
7 Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,
8 Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,
9 Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,
10 Ninapolia na kufunga,
11 Ninapovaa nguo ya gunia,
12 Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,
13 Lakini Ee Bwana, ninakuomba,
14 Uniokoe katika matope,
15 Usiache mafuriko yanigharikishe
16 Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako;
17 Usimfiche mtumishi wako uso wako,
18 Njoo karibu uniokoe,
19 Unajua jinsi ninavyodharauliwa,
20 Dharau zimenivunja moyo
21 Waliweka nyongo katika chakula changu
22 Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,
23 Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,
24 Uwamwagie ghadhabu yako,
25 Mahali pao na pawe ukiwa,
26 Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,
27 Walipize uovu juu ya uovu,
28 Wafutwe kutoka kitabu cha uzima
29 Mimi niko katika maumivu na dhiki;
30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,
31 Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume,
32 Maskini wataona na kufurahi:
33 Bwana huwasikia wahitaji
34 Mbingu na dunia zimsifu,
35 kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni
36 watoto wa watumishi wake watairithi