Salmos 65

SWHONEN

1 Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni;

2 Ewe usikiaye maombi,

3 Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,

4 Heri wale uliowachagua

5 Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki,

6 uliyeumba milima kwa uwezo wako,

7 uliyenyamazisha dhoruba za bahari,

8 Wale wanaoishi mbali sana

9 Waitunza nchi na kuinyeshea,

10 Umeilowesha mifereji yake

11 Umeuvika mwaka taji ya baraka,

12 Mbuga za majani za jangwani umezineemesha;

13 Penye nyanda za malisho pamejaa makundi ya wanyama,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado