1 Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni;
2 Ewe usikiaye maombi,
3 Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,
4 Heri wale uliowachagua
5 Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki,
6 uliyeumba milima kwa uwezo wako,
7 uliyenyamazisha dhoruba za bahari,
8 Wale wanaoishi mbali sana
9 Waitunza nchi na kuinyeshea,
10 Umeilowesha mifereji yake
11 Umeuvika mwaka taji ya baraka,
12 Mbuga za majani za jangwani umezineemesha;
13 Penye nyanda za malisho pamejaa makundi ya wanyama,