Salmos 66

SWHONEN

1 Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!

2 Imbeni utukufu wa jina lake;

3 Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako!

4 Dunia yote yakusujudia,

5 Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,

6 Alifanya bahari kuwa nchi kavu,

7 Yeye hutawala kwa uwezo wake milele,

8 Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,

9 ameyahifadhi maisha yetu

10 Ee Mungu, wewe ulitujaribu,

11 Umetuingiza kwenye nyavu

12 Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,

13 Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa

14 nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi

15 Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono

16 Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu,

17 Nilimlilia kwa kinywa changu,

18 Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,

19 lakini hakika Mungu amenisikiliza

20 Sifa apewe Mungu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado