1 Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!
2 Imbeni utukufu wa jina lake;
3 Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako!
4 Dunia yote yakusujudia,
5 Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,
6 Alifanya bahari kuwa nchi kavu,
7 Yeye hutawala kwa uwezo wake milele,
8 Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,
9 ameyahifadhi maisha yetu
10 Ee Mungu, wewe ulitujaribu,
11 Umetuingiza kwenye nyavu
12 Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,
13 Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa
14 nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi
15 Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono
16 Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu,
17 Nilimlilia kwa kinywa changu,
18 Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,
19 lakini hakika Mungu amenisikiliza
20 Sifa apewe Mungu,