Salmos 64

SWHONEN

1 Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,

2 Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,

3 Wananoa ndimi zao kama panga

4 Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,

5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake

6 Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,

7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale,

8 Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao

9 Wanadamu wote wataogopa,

10 Wenye haki na wafurahi katika Bwana,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado