1 Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,
2 Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,
3 Wananoa ndimi zao kama panga
4 Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,
5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake
6 Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,
7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale,
8 Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao
9 Wanadamu wote wataogopa,
10 Wenye haki na wafurahi katika Bwana,