1 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu,
2 Nimekuona katika mahali patakatifu
3 Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai,
4 Nitakusifu siku zote za maisha yangu,
5 Nafsi yangu itatoshelezwa
6 Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe,
7 Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu,
8 Nafsi yangu inaambatana nawe,
9 Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa,
10 Watatolewa wafe kwa upanga,
11 Bali mfalme atafurahi katika Mungu,