1 Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;
2 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
3 Mtamshambulia mtu hata lini?
4 Walikusudia kikamilifu kumwangusha
5 Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,
6 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
7 Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,
8 Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,
9 Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,
10 Usitumainie vya udhalimu
11 Jambo moja Mungu amelisema,
12 na kwamba, Ee Bwana,