Salmos 62

SWHONEN

1 Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;

2 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

3 Mtamshambulia mtu hata lini?

4 Walikusudia kikamilifu kumwangusha

5 Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,

6 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

7 Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,

8 Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,

9 Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,

10 Usitumainie vya udhalimu

11 Jambo moja Mungu amelisema,

12 na kwamba, Ee Bwana,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado