Salmos 61

SWHONEN

1 Ee Mungu, sikia kilio changu,

2 Kutoka miisho ya dunia ninakuita,

3 Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu,

4 Natamani kukaa hemani mwako milele,

5 Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu,

6 Mwongezee mfalme siku za maisha yake,

7 Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele;

8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado