1 Ee Mungu, sikia kilio changu,
2 Kutoka miisho ya dunia ninakuita,
3 Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu,
4 Natamani kukaa hemani mwako milele,
5 Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu,
6 Mwongezee mfalme siku za maisha yake,
7 Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele;
8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako