1 Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,
2 Umetetemesha nchi na kuipasua;
3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;
4 Kwa wale wanaokucha wewe,
5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,
6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake:
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;
8 Moabu ni sinia langu la kunawia,
9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?
10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,
11 Tuletee msaada dhidi ya adui,
12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,