Salmos 60

SWHONEN

1 Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,

2 Umetetemesha nchi na kuipasua;

3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;

4 Kwa wale wanaokucha wewe,

5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;

8 Moabu ni sinia langu la kunawia,

9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

11 Tuletee msaada dhidi ya adui,

12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado