Salmos 58

SWHONEN

1 Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki?

2 La, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu,

3 Waovu ni wapotovu tangu kuzaliwa kwao,

4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,

5 ambaye hatasikia sauti ya kutumbuiza ya mwaguzi,

6 Ee Mungu, yavunje meno katika vinywa vyao;

7 Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi,

8 Kama konokono ayeyukavyo akitembea,

9 Kabla vyungu vyenu havijapata moto wa kuni za miiba,

10 Wenye haki watafurahi waonapo wakilipizwa kisasi,

11 Ndipo wanadamu watasema,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado