1 Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki?
2 La, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu,
3 Waovu ni wapotovu tangu kuzaliwa kwao,
4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,
5 ambaye hatasikia sauti ya kutumbuiza ya mwaguzi,
6 Ee Mungu, yavunje meno katika vinywa vyao;
7 Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi,
8 Kama konokono ayeyukavyo akitembea,
9 Kabla vyungu vyenu havijapata moto wa kuni za miiba,
10 Wenye haki watafurahi waonapo wakilipizwa kisasi,
11 Ndipo wanadamu watasema,