1 Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,
2 Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,
3 Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,
4 Niko katikati ya simba,
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,
6 Waliitegea miguu yangu nyavu,
7 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;
8 Amka, nafsi yangu!
9 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;
10 Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,
11 Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,