Salmos 57

SWHONEN

1 Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,

2 Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,

3 Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,

4 Niko katikati ya simba,

5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

6 Waliitegea miguu yangu nyavu,

7 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

8 Amka, nafsi yangu!

9 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

10 Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,

11 Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado