1 Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali;
2 Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa,
3 Wakati ninapoogopa,
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
5 Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,
6 Wananifanyia hila, wanajificha,
7 Wasiepuke kwa vyovyote,
8 Andika maombolezo yangu,
9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma
10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.
12 Ee Mungu, nina nadhiri kwako,
13 Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti