Salmos 56

SWHONEN

1 Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali;

2 Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa,

3 Wakati ninapoogopa,

4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

5 Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,

6 Wananifanyia hila, wanajificha,

7 Wasiepuke kwa vyovyote,

8 Andika maombolezo yangu,

9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma

10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.

12 Ee Mungu, nina nadhiri kwako,

13 Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado