Salmos 55

SWHONEN

1 Ee Mungu, sikiliza maombi yangu,

2 Nisikie na unijibu.

3 kwa sauti ya adui,

4 Moyo wangu umejaa uchungu,

5 Woga na kutetemeka vimenizunguka,

6 Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa!

7 Ningalitorokea mbali sana

8 ningaliharakisha kwenda mahali pa salama,

9 Ee Bwana, uwatahayarishe waovu

10 Usiku na mchana wanazunguka juu ya kuta zake,

11 Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini,

12 Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia,

13 Kumbe ni wewe, mwenzangu,

14 ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri,

15 Kifo na kiwajie adui zangu ghafula,

16 Lakini ninamwita Mungu,

17 Jioni, asubuhi na adhuhuri

18 Huniokoa nikawa salama katika vita

19 Mungu anayemiliki milele,

20 Mwenzangu hushambulia rafiki zake,

21 Mazungumzo yake ni laini kama siagi,

22 Mtwike Bwana fadhaa zako,

23 Lakini wewe, Ee Mungu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado