Salmos 51

SWHONEN

1 Ee Mungu, unihurumie,

2 Unioshe na uovu wangu wote

3 Kwa maana ninajua makosa yangu,

4 Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi

5 Hakika mimi nilizaliwa mwenye dhambi,

6 Hakika wewe wapendezwa na kweli itokayo moyoni,

7 Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi,

8 Unipe kusikia furaha na shangwe,

9 Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,

10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi,

11 Usinitupe kutoka mbele zako

12 Unirudishie tena furaha ya wokovu wako,

13 Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako,

14 Ee Mungu, Mungu uniokoaye,

15 Ee Bwana, fungua midomo yangu,

16 Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta,

17 Bali dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika,

18 Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni istawi,

19 Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado