1 Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana,
2 Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu,
3 Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya,
4 Anaziita mbingu zilizo juu,
5 “Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu,
6 Nazo mbingu zinatangaza haki yake,
7 “Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema,
8 Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako,
9 Sina haja ya fahali wa banda lako,
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,
11 Ninamjua kila ndege mlimani,
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi,
13 Je, mimi hula nyama ya mafahali
14 Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,
15 na uniite siku ya taabu;
16 Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:
17 Unachukia mafundisho yangu
18 Unapomwona mwizi, unaungana naye,
19 Unakitumia kinywa chako kwa mabaya
20 Wanena daima dhidi ya ndugu yako
21 Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya,
22 “Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu,
23 Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi,