1 Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?
2 Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi.
3 Unapenda mabaya kuliko mema,
4 Unapenda kila neno lenye kudhuru,
5 Hakika Mungu atakushusha chini
6 Wenye haki wataona na kuogopa,
7 “Huyu ni yule mtu ambaye
8 Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni
9 Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,