1 Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,
3 Mungu yuko katika ngome zake;
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu,
5 walimwona nao wakashangaa,
6 Kutetemeka kuliwashika huko,
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi
8 Kama tulivyokuwa tumesikia,
9 Ee Mungu, hekaluni mwako
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,
11 Mlima Sayuni unashangilia,
12 Tembeeni katika Sayuni,
13 yatafakarini vyema maboma yake,
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele;