1 Pigeni makofi, enyi mataifa yote,
2 Jinsi gani alivyo wa kutisha, Bwana Aliye Juu Sana,
3 Ametiisha mataifa chini yetu
4 Alituchagulia urithi wetu,
5 Mungu amepaa kwa kelele za shangwe,
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa,
7 Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote,
8 Mungu anatawala juu ya mataifa,
9 Wakuu wa mataifa wanakusanyika