1 Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,
2 Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa
3 Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka,
4 Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu,
5 Mungu yuko katikati yake, hautaanguka,
6 Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka,
7 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,
8 Njooni mkaone kazi za Bwana
9 Anakomesha vita hata miisho ya dunia,
10 “Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu;
11 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;