Salmos 46

SWHONEN

1 Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,

2 Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa

3 Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka,

4 Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu,

5 Mungu yuko katikati yake, hautaanguka,

6 Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka,

7 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,

8 Njooni mkaone kazi za Bwana

9 Anakomesha vita hata miisho ya dunia,

10 “Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu;

11 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado