1 Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema
2 Wewe ni bora kuliko watu wengine wote
3 Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu,
4 Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi,
5 Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme,
6 Ee Mungu, kiti chako cha enzi
7 Unaipenda haki na kuchukia uovu;
8 Mavazi yako yote yana harufu nzuri
9 Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa;
10 Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio:
11 Mfalme ameshangazwa na uzuri wako;
12 Binti wa Tiro atakuletea zawadi,
13 Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake;
14 Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa,
15 Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha,
16 Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu,
17 Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote,