1 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,
2 Kwa mkono wako uliwafukuza mataifa
3 Sio kwa upanga wao waliipata nchi,
4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu,
5 Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma watesi wetu;
6 Siutumaini upinde wangu,
7 bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu,
8 Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,
9 Lakini sasa umetukataa na kutudhili,
10 Umetufanya turudi nyuma mbele ya adui,
11 Umetuacha tutafunwe kama kondoo
12 Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,
13 Umetufanya lawama kwa jirani zetu,
14 Umetufanya kuwa mithali miongoni mwa mataifa,
15 Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa,
16 kwa ajili ya dhihaka ya wale wanaonilaumu na kunitukana,
17 Hayo yote yametutokea,
18 Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma;
19 Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha,
20 Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu
21 je, Mungu hangaligundua hili,
22 Hata hivyo kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa;
23 Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala?
24 Kwa nini unauficha uso wako
25 Tumeshushwa hadi mavumbini,
26 Inuka na utusaidie,